1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Historia – Kipindi 09 – Makundi ya kupigania uhuru

9 Machi 2011

Tangu katikati ya karne ya 20 mataifa yote ya Afrika wamejipatia uhuru. La huzuni ni kwamba baadhi yao yalilazimika kupigana vita vya umwagaji damu kujikomboa, hasa yale yaliyokuwa chini ya utawala wa Wareno. Sawa, babu?

https://p.dw.com/p/QsUM