Hisia tofauti zatanda Uganda baada ya matokeo
21 Februari 2011Matangazo
Mpinzani wake mkuu Kizza Besigye ameyakosoa matokeo hayo na kudai kwamba hana imani na mahakama kuu ya nchi hiyo hivyo basi anatafakari juu ya kuchukua hatua nyingine.Kizza Besigye amedai kwamba kumefanyika udanganyifu mkubwa katika zoezi zima la upigaji kura.Nini maoni ya walioko nje na Uganda kuhusu hali ilivyo.Nimezungumza na Salim Msoma mchambuzi wa masuala ya Kisiasa kutoka Tanzania na rafiki wa rais Yoweri Museveni na kwanza anaelezea hisia zake kuhusu ushindi wa Museveni.
Mwandishi,Saumu Mwasimba
Mhariri:AbdulRahman