1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Uganda

Hatua za kuimarisha masomo ya Hisabati na Sayansi kwa vitendo Uganda

14 Machi 2024

Mbinu ya kufunza sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati kama somo jumuishi lijulikanalo kwa ufupi kama STEM, imependekezwa hivi karibuni Uganda ili kuwasaidia wanafunzi waweze kukumbatia masomo ya Sayansi.

https://p.dw.com/p/4dViH