Hali yazidi kuwa tete mjini Mombasa
17 Oktoba 2012Matangazo
Polisi iliwakamata watu kadhaa na kunasa maguruneti kadhaa. Kwa sasa msako wa nyumba hadi nyumba unafanywa mkoani humo. Pia polisi kadhaa walijeruhiwa katika tukio hilo. Eric Ponda ana ripoti kamili.
(Kusikiliza ripoti bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Eric Ponda
Mahariri: Mohammed Abdul-Rahman