1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Haki za wafungwa nchini Kenya

Sylvia Mwehozi
2 Februari 2018

Katika makala ya Mbiu ya Mnyonge, Thelma Mwadzaya anamulika haki za kisheria kwa wafungwa wengi walioko magerezani, na hasa ikizingatiwa kuwa wengi wao ni wale waliotenda makosa madogo madogo lakini wakikosa pesa za kulipa faini na badala yake wanaswekwa jela.

https://p.dw.com/p/2rzC4