1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Frankfurt

Mji wa Magharibi wa Frankfurt kwenye mto mkuu ndiyo mji wa tano kwa ukubwa nchini Ujerumani, ukiwa na wakaazi karibu 700,000. Ni mmoja ya vituo muhimu vya kifedha duniani, na eneo la maonyesho ya viwanda na biashara.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi