1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Edward Lowassa

Edward Ngoyai Lowassa ni mwanasiasa wa Tanazania aliekuwa waziri mkuu wa Jamhuri kati ya mwaka 2005 na 2008, akihudumu chini ya rais Jakaya Kiwete.