DRC:Waasi wa M23 waudhibiti tena mji wa Sake
23 Novemba 2012Matangazo
Mji huo unasemekana unadhibitiwa tena na waasi.
Hata hivyo baadhi ya raia wa mji huo wamekimbilia Minova katika mkoa wa Kivu ya kusini na Wengine katika viunga vya mji wa Goma. Mwandishi wetu John Kanyunyu ana taarifa zaidi.
(Kusikiliza taarifa bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi:John Kanyunyu
Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman