1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC yachunguza vidio inayoonesha wanajeshi wakifanya mauaji

Saleh Mwana Milongo20 Februari 2017

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo imetangaza kuanzishwa uchunguzi baada ya kusambaa kanda ya vidio kwenye mitandao ya kijamii, inayoonyesha wanajeshi wakiwauwa wapiganaji wa kikabila wasiokuwa na silaha. Na, kanisa katoliki la mji mkuu Kinshasa, limeshambuliwa kwa tuhuma kwamba maaskofu ambao ni wapatanishi katika mgogoro wa kisiasa nchini humo wameshindwa kumaliza mazungumzo hayo.

https://p.dw.com/p/2Xu9q