1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Wabunge kutoridhishwa na hali ya usalama Kivu

5 Juni 2012

Wabunge wa katika jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC wakiwemo wale wa upinzani na kutoka chama tawala wameelezea kutoridhishwa kwao na jinsi serikali inavyo simamia machafuko ya Kivu.

https://p.dw.com/p/1585Q
Hali ya usalama Kivu si shwari
Hali ya usalama Kivu si shwariPicha: AP

Wabunge hao waliitisha kikao maalumu cha bunge na kuwahoji mawaziri wa ulinzi na usalama kuhusu hali ya kiusalama huko kivu.Baadhi ya wabunge wa Kongo wametishia kuwapigia kura ya kutokuwa na imani na mawaziri hao kutokana na kutoridhishwa na majibu yao kuhusu hali ya usalama Kivu.

Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo

(Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Saleh Mwanamilongo

Mhariri: Othman Miraji