1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Donald Trump ashinda uchaguzi wa Rais wa Marekani

Oumilkheir Hamidou
9 Novemba 2016

Wamarekani wamchagua Trump kuwa rais wao

https://p.dw.com/p/2SOHG
US-Präsidentschaftswahl 2016 - Sieg & Rede Donald Trump
Picha: Getty Images/S. Platt

Wamarekani wamemchagua Donald Trump kuwa rais wa 45 wa nchi hiyo. Amejikingia sauti 276 dhidi ya 218 za wawakilishi wa majimbo. Rais mteule Trump amewahutubia wafuasi wa chama chake na wamarekani kwa jumla. Mgombea wa chama cha Democrats Hillary Clinton ameungama ameshindwa na ameshazungumza kwa simu na Donald Trump kumpongeza.