1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DOHA: Michezo ya Asia imefunguliwa Doha

2 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCnZ
Schalke yaizaba Stuttgart bao 1:0
Schalke yaizaba Stuttgart bao 1:0Picha: AP

Nchini Qatar,zaidi ya washabiki 40,000 wa spoti,walikusanyika kwenye uwanja wa michezo mjini Doha kuhudhuria sherehe ya kufunguliwa michezo ya 15 ya Asia katika mji mkuu Doha.Kama wanariadha 10,000 kutoka nchi 45 watashindana katika michezo hiyo,siku 16 zijazo.