Wataalam wa masuala ya maendeleo kutoka nchi za kusini na mashariki mwa Afrika wana wasiwasi ikiwa bara hilo linaweza kufikia maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2063 kutokana na kulemewa na changamoto nyingi zikiwemo za kiuchumi kisiasa, usalama wa nishati pamoja na usalama wa chakula.