DAMASCUS. Uchaguzi wa bunge wafanyika leo nchini Syria
22 Aprili 2007Matangazo
Wananchi milioni 12 wa Syria leo wanapiga kura katika uchaguzi wa bunge.
Lakini vyama vya upinzani vimesema vitasusia uchaguzi huo ambao ni wa pili kufanyika tokea rais Bashar al Assad aanze kushika madaraka nchini Syria mwaka wa 2000.