CUF haitambui tangazo la gazeti la SMZ kufuta uchaguzi
Sudi Mnette/M M T12 Novemba 2015
Kumetolewa kanuni rasmi Zanzibar inayosema serikali imefuta rasmi uchaguzi uliofanyika mwezi Oktoba 25 . Tangazo hilo limekuja wakati yakifanyika majadiliano ya kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa kisiasa visiwani humo. Naibu Katibu Mkuu wa CUF Nassor Ahmed Mazrui anaeleza walivyoipokea taarifa hiyo.