Chuo Kikuu cha Garissa kaskazini mwa Kenya kilichoshambuliwa na waasi wa kundi la al-Shabaab mwezi Aprili mwaka uliopita kimefunguliwa tena leo. Ahmed Osman Warfa ni mkuu wa Chuo Kikuu hicho na anaelezea hatua za kiusalama zilizowekwa kuweza kuhakikisha usalama wa wanafunzi wanaorejea masomoni.