Chanzo cha machafuko yaliotokea Matadi jimbo la Bakongo
13 Machi 2007
Tume ya wabunge 15 wa Kongo iko mjini Matadi katika jimbo la Bakongo,kuchunguza chanzo cha machafuko yaliyotokea mwezi mmoja uliopita ambapo watu kiasi 88 waliuwawa kwa mujibu wa taarifa ya serikali.
https://p.dw.com/p/CHIJ
Matangazo
Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo alikuwepo mjini Matadi na ametuandalia ripoti ifuatayo.