Chama kipya chaundwa nchini Tanzania
28 Februari 2012Matangazo
ADC Inaongozwa na Said Miraji aliyewahi kushika nyadhifa mbali mbali katika CUF ikiwa ni pamoja na kuwa Katibu wa Katibu mkuu ,Mkurugenzi wa Vijana wa taifa na pia Mkurugenzi wa kamati ya Ulinzi ya taifa ya chama hicho. Mohammed Abdulrahman amezungumza na Bw.Said Miraji akiwa Dar es salaam na kwanza alielezea madhumuni ya kuunda ADC.
(Kusikiliza makala hii, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)
Mwandishi: Mohammed Abdul-Rahman
Mhariri: Saumu Yusuf