Chama kipya cha TNA chazinduliwa Kenya
21 Mei 2012Matangazo
Uhuru ambaye anatakiwa na mahakama ya jinai ya ICC kwa tuhuma za kupanga ghasia za baada ya uchaguzi nchini humo mwaka wa 2007/2008 amesema chama chake kitafanya kazi na vyama vingine vya kiasiasa nchini humo vyenye nia njema na taifa hilo.
Amina Abubakar amezungumza na mchambuzi wa maswala ya kisiasa nchini Kenya Martin Oloo kuhusu swala hili la uzinduzi wa TNA akitaka kufahamu sura halisi ya mambo yalivyo baada ya kuundwa chama hicho.
(Kusikiliza mahojiano bonyeza alama ya spika ya masikioni)
Mwandishi: Amina Abubakar
Mhariri: Yusuf Saumu