Bunge Tanzania laweza kuzuia ufisadi?
10 Julai 2014Matangazo
Maoni Mbele ya Meza ya Duara inauliza ikiwa upo uwezekano wa bunge la Tanzania kuwa taasisi imara kusimamia fedha za umma na rasilimali za nchi. Je, upo uthubutu na utayarifu huo?
Kusikiliza makala nzima, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mhariri: Mohamed Abdul-Rahman