Brown atetea uamuzi wa kuwafukuza wanadiplomasia wa Urusi
17 Julai 2007Matangazo
Bwana Brown anatetea uamuzi wa serikali yake wa kuwafukuza wanadiplomasia wanne wa Urusi kutoka nchini mwake.Wanadiplomasia hao waliandamana kupinga uamuzi wa nchi ya Urusi wa kukataa kuwarejesha nyumbani mshukiwa wa mauaji ya jasusi wa zamani Alexander Litvinenko.Litvinenko jasusi wa zamani kwenye shirika la KGB la Urusi aliuawa mjini London.
Bi Merkel alisema kuwa anaunga mkono uchunguzi unaofanywa na Uingereza kuhusiana na mauaji hayo.