Bomu jengine laripuka Kenya
25 Oktoba 2011Matangazo
Mashambulizi haya yanafuatia yale ya awali yaliyotokea katika mkahawa mmoja mapema hapo jana na kuwajeruhi watu takriban 14.
Maryam Abdalla anazungumza na mwandishi wa Deutsche Welle jijini Nairobi, Allfred Kiti, kuhusiana na hali ilivyo kwa sasa.
Mahojiano: Maryam Abdalla/Alfred Kiti
Mhariri: Miraji Othman