1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BERLIN: Jung amelaani shambulizi la kujitolea muhanga

6 Oktoba 2007
https://p.dw.com/p/C7I7

Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani,Franz Josef Jung amelaani vikali shambulizi la kujitolea muhanga lililofanywa dhidi ya wanajeshi wa Ujerumani kaskazini mwa Afghanistan.

Siku ya Ijumaa,wanajeshi 3 wa Kijerumani na mkalimani wao wa Kiafghanistan walijeruhiwa katika shambulizi hilo,karibu na mji wa Kunduz.