1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

BEIRUT:wanajeshi wauawa Lebanon

20 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBXZ

Wanajeshi wawili wameuawa katika mapigano yaliyotokea kwenye kambi ya wakimbizi ya Nahr al-Bared kaskazini mwa Lebanon.

Askari 138 wa Lebanon wameshauawa tokea mapigano baina yao na wanaitikadi kali hao yaanze mnamo mwezi mei.