1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baraza la Usalama la UN lakataa ombi la DRC

19 Aprili 2016

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hivi karibuni limekataa ombi la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kupunguza idadi ya wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini humo MONUSCO kwa hoja kuwa wanahitajika

https://p.dw.com/p/1IYHw
DR Kongo MONUSCO Mission
Mlinzi wa amani wa MONUSCO nchini DRCPicha: picture-alliance/dpa/M. Kappeler

Katika mahojiano ya Kinagaubaga Mohammed Dahman anazungumza na mbunge wa taifa wa upinzani wa Uvira jimbo la kivu kusini mashariki mwa Congo Justin Bitakwira ambaye anaiunga mkono serikali kushinikiza kuondolewa kwa kikosi cha MONUSCO. Kusiliza mahojiano hayo bonyeza kitufe cha alama za kusikilizia hapo chini.