Bajeti ya mwaka 2017/2018 nchini Kenya yawasilishwa mapema tofauti na miaka mingine, kutokana na uchaguzi utakaofanyika mwezi Agosti. Je, hatua hiyo huenda ikaleta athari zozote huku kukiwa na kitisho cha ukame na mfumuko wa bei?
https://p.dw.com/p/2aJNh
Matangazo
DW imezungumza na mchambuzi wa masuala ya uchumi mjini Nairobi, Frederick Mweni kutaka kujua iwapo kutakuwa na athari zozote kutokana na bajeti hiyo kuwasilishwa mapema.