1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baadhi ya maduka ya madawa Zanzibar yafungwa

15 Januari 2007

Huko Zanzibar leo wagonjwa wamekuwa katika shida ya kupata dawa, licha ya kuwa na fedha za kununua dawa hizo, kutokana na srikali kufunga zaidi ya maduka 50 kati ya 65 yanayouza dawa baridi kwa sababu hayana wafamasia wa kuyaendesha.

https://p.dw.com/p/CHln
Sikiliza ripoti ya mwandishi wetu wa Zanzibar Salim Said Salim.