1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Baada ya Durban, dunia itarajie nini?

Sudi Mnette28 Desemba 2011

Mwaka 2011 utakumbukwa kwa mengi, ukiwemo mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na mabadiliko ya hali ya hewa ulimwenguni uliofanyika mjini Durban, Afrika Kusini, ingawa bado suali linabakia pale pale: nini kinafuatia?

https://p.dw.com/p/13aaN
Alama ya mkutano wa Durban
Alama ya mkutano wa DurbanPicha: picture-alliance/dpa

Sudi Mnette anauhakiki mkutano wa mazingira uliondaliwa na Umoja wa Mataifa na kufanyika Afrika Kusini mwishoni mwa mwaka 2011, akijaribu kuangalia hatua zinazofuatia baada ya mkutano wenyewe.

Makala: Baada ya Durban, dunia itarajie nini?
Mtayarishaji: Sudi Mnette
Mhariri: Othman Miraji