1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Australia

Ni nchi yenye bara pamoja na visiwa ambavyo ni kisiwa cha Tasmania pamoja na vyengine kadhaa vidogo. Sarafu yake ni dola ya Australia, na mji wake mkuu ni Canberra. Mji wake wenye idadi kubwa ya watu ni Sydney.