Matangazo
Mohammed Khelef, ambaye alikuwa kwenye ziara ya kuangalia matumizi ya mitandao ya kijamii miongoni mwa vijana wa miji ya Afrika Mashariki, alikutana na kijana Michael Otieno katika mkahawa mmoja jijini Nairobi, na wakazungumzia namna mashambulizi ya maneno kwenye mitandao ya kijamii yalivyoshamiri katika mji huo mkuu wa Kenya.