Mwanzoni wakati usafiri wa bodaboda ulipoanza, ulidharaulika sana. Miaka michache baadaye usafiri huu umekuwa ni chanzo kikubwa cha ajira kwa vijana wengi katika miji mikubwa karibu yote Afrika Mashariki. Nchini Kenya usafiri huo unaonekana kuingia katika kiwango cha juu baada ya kuzinduliwa kwa App ya Juu Boda, kufahamu mengi tafadhali ungana na Sylvia Mwehozi katika Sema Uvume.