1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Fasihi

Adipo Zidang' nyota ya waandishi Kenya

Sudi Mnette
12 Oktoba 2017

Msikilize Adipo Sidang’ mshindi wa tuzo ya Burt kwa mwaka 2017 kwa fasihi ya Kiafrika. Kitabu kilimchompa ushindi kinaitwa “A Boy Named Koko” kinachuhusu madhira ya wenye ulemavu wa ngozi hasa katika mataifa ya Tanzania na Malawi. Zaidi sikiliza kipindi “Karibuni.”

https://p.dw.com/p/2ljhw
Kenia Zeluzelu Koko Buchvorstelllung “Parliament of Owls”
Picha: DW/A. Zidang