1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ab Mara, yatima aliyegeuka mwanamuziki

Mohammed Khelef23 Julai 2015

Alizaliwa kama Abisai Marandu huko Moshi, kaskazini mwa Tanzania. Sasa anaishi kama Ab Mara, msanii wa muziki wa hip-hop katika mji wa Nürnberg ulio kusini mwa Ujerumani. Katika robo saa hii na Idhaa ya Kiswahili ya DW, mwanamuziki huyu anazungumzia ujumbe wa mapambano ya maisha kwenye muziki wake.

https://p.dw.com/p/1G3rP