1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.10.2016 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S31 Oktoba 2016

Seneta wa juu kabisa wa chama cha Democrat, jana amesema Mkurugenzi wa Shirika la upelelezi wa ndani la Marekani FBI James Comey anaweza kuwa amevunja sheria// Polisi nchini Uturuki inawashikilia waandishi kadhaa wa habari na mhariri mkuu wa gazeti la upinzani la Cumhuriyet // Tanzania imesema imeanza kuelemewa na mzigo wa wakimbizi wa Burundi wanaoendelea kumiminika kwa wingi nchini humo.

https://p.dw.com/p/2Rvyi