Zimesalia siku saba kufanyika uchaguzi mkuu nchini Kenya // Watu kumi wameuwawa nchini Venezuela // Wasiwasi umetawala nchini Japan kufuatia jaribio la karibuni zaidi la kombora kutoka Korea Kaskazini// Waziri wa ulinzi wa Ujerumani Ursula von der Leyen yuko ziarani katika nchi ya Mali.