1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.07.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S31 Julai 2017

Nchini Kenya meneja wa teknolojia na mawasiliano katika tume ya IEBC, Chris Musando amepatikana ameuawa siku tatu baada ya kutoweka// Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimekosoa vikali sera za serikali ya Rais John Magufuli// Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuna taarifa za kuibuka makabiliano kati ya polisi na makundi ya waandamanaji.

https://p.dw.com/p/2hSlD