1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

31.03.2017 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S31 Machi 2017

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amefanya mabadiliko ya baraza lake la mawaziri na kumuondoa waziri wake wa fedha Pravin Gordhan// Rais wa Umoja wa Ulaya, Donald Tusk leo hii ameeleza mipango yake juu ya mazunguzmzo ya Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya, BREXIT.

https://p.dw.com/p/2aPxC