Mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa jumuiya ya kujihami ya NATO wanakutana mjini Brussels// Uongozi wa kijeshi magharibi mwa Rwanda umewakamata, kuwapiga na kuwatishia watu waliopinga uamuzi wa hivi majuzi wa Serikali wa kuwaondoa kwa nguvu raia kwenye ardhi zao.