Makubaliano ya mazungumzo ya kitaifa ya kuukwamua mzozo wa kisiasa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo yatarajiwa kutiwa saini hii leo// Dikteta wa Iraq aliyeondolewa madarakani Saddam Hussein alinyongwa ndani ya vituo vya utawala wake vya mateso muongo mmoja uliopita hapo Desemba 30, 2006//Obama ameimarisha sheria ya ulinzi wa mazingira kwa kuyataja maeneo yenye kumbukumbu muhimu za kitaifa.