Umoja wa ulaya na Afrika wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika nyanja muhimu ikiwa ni pamoja na uhamiaji; usalama, pamoja na uwekezaji katika elimu na maendeleo endelevu// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel atafanya mazungumzo ya kwanza leo na mwenyekiti wa chama cha Social Democratic SPD, Martin Schulz katika juhudi za kuunda serekali ya muungano.