Idadi wa waathirika wa malaria imeongezeka// Vyama vya mrengo wa kulia nchini Ufaransa, vimeonekana kuwa katika mpasuko baada ya Emmanuel Macron, kushinda urais mwaka jana// Ubalozi wa Ujerumani nchini Kenya umeandaa warsha ya siku moja jijini Nairobi kupigia debe uchumi unaozingatia mazingira.