Siasa30.10.2017 Matangazo ya mchanaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSK2 / S02S30.10.201730 Oktoba 2017Tume ya Kusimamia Uchaguzi nchini Kenya imekamilisha matayarisho ya kumtangaza mshindi wa uchaguzi mpya wa urais uliofanyika tarehe 26 mwezi huu// Raisi wa jimbo la wakurd kaskazini mwa Iraq, Massoud Barzani anasema atajiuzulu November mosi.https://p.dw.com/p/2mja2Matangazo