Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekubaliana kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya wanajeshi wa kulinda amani katika jimbo la Darfur nchini Sudan// Umoja wa Mataifa leo umeikosoa serikali ya Rais Nicolas Maduro wa Venezuela kwa kupunguza madaraka ya mwendesha mashtaka mkuu// Ujerumani imesema ipo tayari kuisaidia Tanzania katika maendeleo ya kiuchumi kupitia makampuni na sekta binafsi.