1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.05.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S30 Mei 2018

Kundi la Hamas linaloudhibiti Ukanda wa Gaza limesema wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano na Israel// Vyama vikuu nchini Italia vimefufua juhudi za kuunda serikali ya mseto, //Polisi ya Msumbiji imesema kuwa watu 10 wamechinjwa na kundi la watu wenye silaha katika jimbo la kaskazini mwa nchi hiyo la Cabo Delgado.

https://p.dw.com/p/2yfMZ