Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Rex Tillerson amewasili mjini Ankara, Uturuki// Waziri mkuu wa zamani wa Ufaransa Manuel Valls jana Jumatano alitangaza atamuunga mkono mgombea wa urais Emmanuel Macron katika uchaguzi mkuu// Waziri wa Fedha wa Kenya Henry Rotich leo hii anawasilisha bungeni makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2017/2018.