Kiongozi wa Muungano Mkuu wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga ameapishwa leo katika bustani ya Uhuru jijini Nairobi kuwa rais wa wananchi// Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema raia wa Syria wanapaswa kushikamana na kuwa na maono ya pamoja juu ya mustakabali wao wa baadaye ili kukabiliana na mgogoro unaoendelea nchini mwao.