Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga anatarajiwa kuapishwa leo asubuhi kuwa Rais wa Kenya// Kuzinduliwa kwa soko la pamoja la usafiri wa anga barani afrika ni miongoni mwa hatua iliofikiwa kwenye mkutano wa kilele wa 30 wa viongozi wa nchi za umoja wa afrika// Rais wa shirikisho la jamhuri ya Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier anaendelea na ziara yake ya siku nne mashariki ya kati.