Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeituhumu Uganda kwa mauaji huko Kasese// Willy Nyamitwe, Mshauri mkuu wa rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, ameponea chupu chupu jaribio la kuuwawa// Baadhi ya makumpuni makubwa ya kigeni yaliyowekeza nchini Tanzania yamesema huenda yakafikiria kupunguza au kusitisha shughuli zao kwa sababu ya masharti magumu.