1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.11.2016 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S29 Novemba 2016

Wakaazi wa maeneo ya Kasese magharibi mwa Uganda wako katika hali ya taharuki kufuatia mauaji ya watu 62// Hali ya wasiwasi na hofu imejitokeza Burundi kufuatia jaribio la kutaka kumuua mshauri mkuu wa Rais wa Burundi, Willy Nyamwite// Kamati Kuu ya chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC imeamua kwamba rais Jacob Zuma ataendelea kuwa kiongozi wa taifa hilo.

https://p.dw.com/p/2TSmf