Uwezekano wa kumuona Francois Fillon anakuwa rais wa Ufaransa unazusha wasi wasi kidogo nchini Ujerumani// Serikali ya Tanzania imetangaza kubadilisha utaratibu uliokuwa ukitumika hapo awali wa kujiunga na elimu ya chuo kikuu// Barani Afrika, kilimo kinakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kampuni za kigeni ambazo huleta mbegu zilizobadilishwa vinasaba, maarufu kama GMO.